3 Bedrooms House for Sale in Kinyerezi Songas, Dar Es Salaam (500 sqm)

Type
House
Bedrooms
3
Plot Size
500 SQM
Nearest Road
2m
Amenities
Description
π‘ NYUMBA INAUZWA KINYEREZI SONGAS β LOCATION NZURI SANA! π₯
Fursa adimu ya kumiliki nyumba iliyopo Kinyerezi Songas, ikiwa ni nyumba ya pili kutoka barabara ya lami. Eneo linafikika kwa urahisi na lina mazingira mazuri ya kuishi pamoja na uwekezaji.
β
Ina:
* Vyumba 3 vya kulala (kimoja Master)
* Sebule kubwa
* Jiko
* Choo cha Public
* Umeme na maji vinapatikana
* Parking ya kutosha
π Ukubwa wa eneo: Sqm 500
π Inafaa kwa:
* Makazi ya familia
* Uwekezaji wa nyumba za kupangisha
* Apartments
* Lodge au biashara nyingine kutokana na location yake nzuri karibu na barabara kuu
π° Bei: Milioni 60 Tu
π₯ Wahi Sasa, Offer Kabambe!
Miliki Kesho Yako Leo!!!
π Muhitaji piga: +255 688 412 890
Service Charge / Gharama ya Huduma: 30,000/=
π Karibu Tajiri β Dalali Wako Wakishua! β¨















