Search

3 Bedrooms House for Sale in Kisota, Kigamboni, Dar Es Salaam (600 sqm)

video thumbnail
Sh. 290,000,000

Description

🏑 NYUMBA YA KISASA INAUZWA – KIGAMBONI, KISOTA

Fursa adhimu ya kumiliki nyumba ya kisasa iliyo katika eneo tulivu, salama na lenye maendeleo makubwa. Ipo karibu na barabara kuu na huduma muhimu, hivyo ni chaguo bora kwa makazi au uwekezaji.

πŸ“ Mahali

Kigamboni – Kisota

✨ Sifa za Nyumba

βœ… Vyumba 3, vyote Master
βœ… Sebule kubwa na ya kisasa
βœ… Jiko la ndani lenye nafasi nzuri
βœ… Boys’ Quarter (Chumba cha nje)
βœ… Jiko la nje
βœ… Choo cha nje
βœ… Kisima cha maji safi
βœ… Electric Fence kwa usalama wa ziada
βœ… Full AC katika vyumba vyote
βœ… Nyumba ipo kwenye location nzuri na mazingira tulivu

πŸ“ Ukubwa wa Kiwanja

SQM 600

πŸ“„ Hati

Hati ya Wizara

πŸ“ Umbali

πŸ“ Mita chache kutoka barabara kuu
πŸ“ Kilomita 5 kutoka Ferry
πŸ“ Kilomita 3 kutoka Daraja la Nyerere

πŸ’° Bei

TZS Milioni 290 (Mazungumzo yapo)

πŸ’΅ Service Charge

TZS 30,000

πŸ“ž Mawasiliano

0769 554 221

#trendingvideo #istagram #realestateagent #tanzania #trendingaudio

Similar properties in Kigamboni, Dar Es Salaam