3 Bedrooms House for Sale in Kisota, Kigamboni, Dar Es Salaam (600 sqm)

Type
House
Bedrooms
3
Bathrooms
3
Plot Size
600 SQM
Description
π‘ NYUMBA YA KISASA INAUZWA β KIGAMBONI, KISOTA
Fursa adhimu ya kumiliki nyumba ya kisasa iliyo katika eneo tulivu, salama na lenye maendeleo makubwa. Ipo karibu na barabara kuu na huduma muhimu, hivyo ni chaguo bora kwa makazi au uwekezaji.
π Mahali
Kigamboni β Kisota
β¨ Sifa za Nyumba
β
Vyumba 3, vyote Master
β
Sebule kubwa na ya kisasa
β
Jiko la ndani lenye nafasi nzuri
β
Boysβ Quarter (Chumba cha nje)
β
Jiko la nje
β
Choo cha nje
β
Kisima cha maji safi
β
Electric Fence kwa usalama wa ziada
β
Full AC katika vyumba vyote
β
Nyumba ipo kwenye location nzuri na mazingira tulivu
π Ukubwa wa Kiwanja
SQM 600
π Hati
Hati ya Wizara
π Umbali
π Mita chache kutoka barabara kuu
π Kilomita 5 kutoka Ferry
π Kilomita 3 kutoka Daraja la Nyerere
π° Bei
TZS Milioni 290 (Mazungumzo yapo)
π΅ Service Charge
TZS 30,000
π Mawasiliano
0769 554 221
#trendingvideo #istagram #realestateagent #tanzania #trendingaudio















