Search

3 Bedrooms House for Sale in Mbagala Chamaz, Dar Es Salaam (450 sqm)

Sh. 75,000,000

Description

Njoo boss wangu nkuzie hii nyumba kalli sana Ina uzwa tsh mil 75 tu
Ipo mbagala chamaz jiji la dar es salaam wilaya ya temeke kata ya chamaz mtaa wa dovya Ina vyumba vya kulala vitatu vyumba viwili ni masters bedroom ina stting room na dainingi room na jiko pamoja na public toilet ina maji na umeme upo wa luku Ukubwa wa eneo sqmt 450

Ina documents ya mauziano ya office ya serikali ya mtaa
Kwa maelekezo zaidi nipigie CM au nicheki WhatsApp πŸ‡ΉπŸ‡Ώ πŸ‡ΉπŸ‡Ώ

Man Chala Juma

dalali_rick_loss_mbagala_dar

@dalali_rick_loss_mbagala_dar

View Listings
Man Chala Juma