3 Bedrooms House for Sale in Mjimwema, Dar Es Salaam (1000 sqm)

Amenities
Description
🏡 NYUMBA YA KISASA INAUZWA – KIGAMBONI MJIMWEMA (BARABARA YA LAMI)
🔥 Nyumba kali sana ipo barabarani kabisa (lami) – eneo la hadhi na rahisi kufika
✨ Sifa za Nyumba:
* 🛏️ Vyumba 3 vya kulala (vyote master)
* 🛋️ Sebule kubwa ya kisasa
* 🍽️ Dining area
* 🍳 Jiko la kisasa
* 📐 Eneo kubwa: SQM 1000
* 🌳 Kiwanja kikubwa na mazingira mazuri
* 🚗 Parking ya kutosha
* 📍 Ipo Mjimwema – Kigamboni, karibu kabisa na barabara kuu
💰 Bei: Milioni 700 maongezi yapo
(Bei inaweza kuwa kuanzia around 75M – 190M kutegemea ubora na eneo Kigamboni )
💵 Service Charge: 30,000 TZS
📞 Call/WhatsApp: +255746407197
⸻
📌 #creatorsearchinsights #dalalikigamboni #dalalidar es salaam #dalalinyumbaviwanja #realestateapartment dalalidaressalaam nyumbainauzwa kigamboni















