3 Bedrooms House for sale in Tabata Segerea Mwisho, Dar Es Salaam

Type
House
Bedrooms
3
Plot Size
400 SQM
Nearest Road
1.5km
Amenities
Description
๐ก NYUMBA MBILI ZA BIASHARA KWA BEI YA MOJA ZINAUZWA โ TABATA SEGEREA MWISHO (Viwanja vya Benki)
Fursa nzuri kwa mwekezaji anayehitaji mali yenye uwezo mkubwa wa kuzalisha kipato kwa kupanga vizuri matumizi ya nyumba.
๐ Zipo Tabata Segerea Mwisho โ Viwanja vya benki, takriban kilomita 1.5 kutoka barabara ya lami.
โ
Nyumba 2 zipo ndani ya eneo moja
โ
Kila nyumba ina:
* Vyumba 3 (kimoja master)
* Sebule
* Jikoni
* Choo cha wageni (public toilet)
๐ Eneo lina ukubwa wa sqm 400
๐ก Kwa mwekezaji mwenye maono, nyumba hizi zinaweza kukamilishwa na kupangishwa kama zilivyo au kufanyiwa maboresho na kugawanywa katika vyumba vingi vya master. Kwa upangaji mzuri wa nafasi, kila nyumba inaweza kupata hadi vyumba 6 vya master, hivyo jumla ya vyumba vya master vinaweza kufikia 12.
๐ฐ Maeneo hayo chumba cha master hupangishwa kati ya TSh 100,000 โ 130,000 kwa mwezi kulingana na ubora wa finishing.
๐ Hii ni fursa ya kupata mapato ya kudumu ya kodi pamoja na ongezeko la thamani ya mali kadri eneo linavyoendelea kukua.
๐ฐ Bei: TSh 60,000,000 tu (Milioni 60)
Service charge / Gharama ya huduma: 30,000/=
๐ Muhitaji piga: +255688412890
โDalali wako Wakishuaโ ๐กโจ















