4 Bedrooms House for sale at Goba, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 50,000

Type

House

Bedrooms

4

Description

NYUMBA YENYE VYUMBA 4,TSHS.95 MILIONI, GOBA NJIA-4,MATOSA ROAD.

Hii ni nyumba ya kisasa yenye nafasi na YAKUHAMIA.

Ipo ndani ya Fensi safi kwa usalama na mtaa umejengeka vizuri na ni tulivu.

Vyumba 4 (Masta 1)
Pia kuna Sebule, Jiko, Dining-room,
Store na Choo cha Familia ndani.
Pia kuna Servant's Quarter ya Chumba kimoja.
Parking ipo yakutosha.

__________________

ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)

Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.

+255 714 591 548

__________________ryt