4 Bedrooms House for Sale in Chamazi Mbagala, Dar Es Salaam
Description
🔥 NYUMBA YA KIFAHARI CHAMAZI—HII SI YA KUPITA! 🏡✨
Unatafuta nyumba nzuri, kubwa na yenye security ya uhakika kwa ajili ya familia yako? 😍
Hii hapa JUMBA LA KIFAHARI linauzwa Chamazi, Mbagala DSM!
💰 Bei: MILIONI 110 — MAONGEZI
🏠 SIFA ZA NYUMBA:
🛏️ Vyumba 4 vya kulala — 1 Master
🛋️ Sebule kubwa
🍽️ Dining Room
🍳 Jiko
🚽 Public Toilet
⚡ Fence ya umeme
🚗 Parking ya magari 2
💧 Tank la maji
🧱 Paving
🔐 Mazingira salama na mazuri
🔥Milioni 110 tu inaweza kukupa nyumba ambayo ukiingia leo, hutamani tena kuhama!
📲 Wasiliana nasi sasa +255681249159 kwa maelezo zaidi na kuiona nyumba.
⏰ Usichelewe—nyumba nzuri kama hii haikai sokoni muda mrefu!
#
#NyumbaInauzwa #Chamazi #Mbagala #NyumbaZaKifahari DarEsSalaam RealEstateTanzania NyumbaDarEsSalaam PropertyTanzania NyumbaYaNdot
255681249159















