4 Bedrooms House for Sale in Kibada, Dar Es Salaam (650 sqm)

Amenities
Description
🏡 Nyumba inauzwa Kibada!
Kiwanja cha mita za mraba 650, chenye nyumba ya vyumba 4 vya kulala, viwili Master, sebule, dining na jiko.
Eneo kubwa limebaki kwa maendeleo mengine.
Bei ni milioni 70 tu, mazungumzo yapo.
📞 0689 621 263















