Search

4 Bedrooms House for Sale in Kigamboni - Kibugumo, Dar Es Salaam (700 sqm)

Sh. 75,000,000

Description

KIBUGUMO ๐Ÿ”ฅ๐Ÿก

๐Ÿ’Ž FURSA NZURI YA KUMILIKI BOMA KATIKA ENEO ZURI!

Boma linauzwa Kigamboni โ€“ Kibugumo likiwa katika eneo zuri, tulivu na lenye mazingira mazuri. Boma lipo kwenye hatua ya finishing ya kupaua, hivyo mnunuzi ana nafasi ya kulimalizia kwa mtindo anaoupenda.

โœจ SIFA ZA BOMA:
โœ… Vyumba 4
โœ… Chumba 2 Master
โœ… Sebule
โœ… Dining
โœ… Jiko
๐Ÿ—๏ธ Lipo kwenye hatua ya finishing ya kupaua
๐Ÿ“ Ukubwa wa Kiwanja: SQM 700
๐Ÿ“„ Nyaraka: Hati ya Serikali ya Mtaa

๐Ÿ“ UMBALI:
๐Ÿš— Kilomita 1 kutoka barabara
โ›ด๏ธ Kilomita 7 kutoka Ferry
๐ŸŒ‰ Kilomita 8 kutoka Kigamboni Darajani

๐Ÿ’ฐ BEI: TZS MILIONI 75
๐Ÿค Mazungumzo kidogo yapo.

๐Ÿ”ฅ FURSA YA KIPEKEE:
Unapata boma lenye vyumba 4 kwenye kiwanja cha SQM 700, kisha unalimalizia kwa design na finishing unayoipenda.

๐Ÿ“ž
๐Ÿ“Service charge 30,000

#trendingvideo #istagram #realestateagent #tanzania #trendingaudio

Dalali Kigamboni mbavu

dalali__kigamboni_mbavu

@dalali__kigamboni_mbavu

View Listings

Similar properties in Kigamboni, Dar Es Salaam

Dalali Kigamboni mbavu