Search

4 Bedrooms House for Sale in Kigamboni / Malaika Beach, Dar Es Salaam (1200 sqm)

Sh. 480,000,000

Description

🏡🔥 GHOROFA LA KISASA LINAUZWA– KIGAMBONI, /MALAIKA BEACH 🔥🏡

💎 FURSA YA KIPEKEE KARIBU NA BEACH!

Ghorofa la kisasa kabisa linauzwa Kigamboni, eneo la Mikadi/Malaika Beach, sehemu nzuri kwa makazi na uwekezaji wa kitalii. Eneo la Mikadi liko karibu na Kigamboni Ferry na lina ufukwe wa Bahari ya Hindi.

✨ SIFA ZA GHOROFA:
✅ Vyumba 4, vyote Master
✅ Sebule
✅ Dining
✅ Jiko
✅ Design ya kisasa kabisa
📐 Ukubwa wa kiwanja: SQM 1,200
📄 Hati ya Wizara
🌊 Takribani mita 200 kutoka Beach

📍 UMBALI:
🚗 Mita 200 kutoka barabarani
⛴️ Kilomita 3 kutoka Ferry
🌉 Kilomita 4 kutoka Daraja la Nyerere, Kigamboni

💰 BEI: TZS MILIONI 480
🤝 Mazungumzo kidogo yapo.

🔥 GHOROFA HILI LINAfaa kwa:
🏨 Hotel
🏡 Airbnb
🎉 House Party
🏠 Makazi ya familia
📈 Uwekezaji wa muda mrefu

🌴 Eneo la Kigamboni lina fursa nzuri kwa miradi ya makazi na utalii kutokana na ukanda wake wa pwani.

📞

Dm

dalali mpole kibamba

dalali_mpole_kimara_kibamba

@dalali_mpole_kimara_kibamba

View Listings

Similar properties in Kigamboni, Dar Es Salaam

dalali mpole kibamba