4 Bedrooms House for Sale in Kigamboni / Malaika Beach, Dar Es Salaam (1200 sqm)
Type
House
Bedrooms
4
Plot Size
1200 SQM
Nearest Road
200m
Amenities
Description
🏡🔥 GHOROFA LA KISASA LINAUZWA– KIGAMBONI, /MALAIKA BEACH 🔥🏡
💎 FURSA YA KIPEKEE KARIBU NA BEACH!
Ghorofa la kisasa kabisa linauzwa Kigamboni, eneo la Mikadi/Malaika Beach, sehemu nzuri kwa makazi na uwekezaji wa kitalii. Eneo la Mikadi liko karibu na Kigamboni Ferry na lina ufukwe wa Bahari ya Hindi.
✨ SIFA ZA GHOROFA:
✅ Vyumba 4, vyote Master
✅ Sebule
✅ Dining
✅ Jiko
✅ Design ya kisasa kabisa
📐 Ukubwa wa kiwanja: SQM 1,200
📄 Hati ya Wizara
🌊 Takribani mita 200 kutoka Beach
📍 UMBALI:
🚗 Mita 200 kutoka barabarani
⛴️ Kilomita 3 kutoka Ferry
🌉 Kilomita 4 kutoka Daraja la Nyerere, Kigamboni
💰 BEI: TZS MILIONI 480
🤝 Mazungumzo kidogo yapo.
🔥 GHOROFA HILI LINAfaa kwa:
🏨 Hotel
🏡 Airbnb
🎉 House Party
🏠 Makazi ya familia
📈 Uwekezaji wa muda mrefu
🌴 Eneo la Kigamboni lina fursa nzuri kwa miradi ya makazi na utalii kutokana na ukanda wake wa pwani.
📞
Dm















