Search

4 Bedrooms House for Sale in Kigamboni Kisiwani, Dar Es Salaam (800 sqm)

Sh. 240,000,000

Description

🏑 NYUMBA YA KISASA INAUZWA – KIGAMBONI KISIWANI

Unatafuta nyumba kubwa ya kisasa yenye nafasi ya kuishi na fursa ya kupata kipato cha ziada? Hii ni fursa nzuri kwako!

Sifa za Nyumba:

βœ… Vyumba 4 vya kulala, vyote Master
βœ… Sebule kubwa
βœ… Dining room
βœ… Jiko la kisasa lenye makabati
βœ… Public toilet ya ndani
βœ… Kisima cha maji
βœ… Electric Fence kwa usalama
βœ… Jiko la nje
βœ… Maegesho ya kutosha

Nyumba ya Watumishi (Servant Quarter):

βœ… Vyumba 2 vya kulala
βœ… Sebule
βœ… Jiko

πŸ’° Servant quarter inaweza kupangishwa na kukuletea kipato cha kila mwezi.

Eneo:

πŸ“ Ukubwa wa kiwanja: SQM 800
πŸ“„ Hati ya Serikali ya Mtaa
πŸ“ Kiwanja kimepimwa

Umbali:

πŸ“ Kilomita 1 kutoka barabara ya lami
πŸ“ Kilomita 6 kutoka Feri ya Kigamboni
πŸ“ Kilomita 5 kutoka Daraja la Nyerere

πŸ’΅ Bei: TZS Milioni 240 (Mazungumzo yapo.)

πŸ“ž0769554221
πŸ“Service Charge
#trendingvideo #istagram #realestateagent #tanzania #trendingaudio

Similar properties in Kigamboni, Dar Es Salaam

4 Bedrooms House for Sale in Kisarawe, Kigamboni, Dar Es Salaam (1000 sqm)

Sh. 130,000,000

For Sale4 beds4 baths1,000 sqmhouse