4 Bedrooms House for Sale in Kigamboni Kisiwani, Dar Es Salaam (850 sqm)

Amenities
Description
π‘ NYUMBA NZURI INAUZWA KIGAMBONI KISIWANI β DAR ES SALAAM π‘
Nyumba nzuri sana inauzwa eneo la Kigamboni Kisiwani, mazingira tulivu na salama kwa makazi ya familia pamoja na uwekezaji.
β¨ SIFA ZA NYUMBA:
ποΈ Vyumba 4 vya kulala
ποΈ Sebule kubwa
π½οΈ Dining
π³ Jiko zuri
π Eneo la sqm 850
π Kiwanja kimepimwa na kina Hati ya Wizara
β‘ Umeme upo
π§ Maji yapo
π LOCATION:
π Kilomita 2 tu mpaka Darajani
β΄οΈ Kilomita 4 tu mpaka Ferry
π₯ FAIDA ZA ENEO:
β
Inafaa kuishi na familia
β
Inafaa kwa uwekezaji wa kupanga
β
Eneo kubwa unaweza kujenga:
β’ Servant quarter
β’ Vyumba vya kupangisha
β’ Apartment au biashara nyingine
π Pia kuna sehemu ya mabanda kwa ajili ya kufugia kuku.
π° BEI: TSH Milioni 115 tu
π€ Mazungumzo kidogo yapo
π΅ Service Charge: 30,000/= kwa site visit
π Call/WhatsApp: O719969102
.















