4 Bedrooms House for Sale in Kigamboni Kisiwani, Dar Es Salaam

Description
π‘ NYUMBA YA KISASA INAUZWA β KIGAMBONI KISIWANI (KWA MKOREA), DAR ES SALAAM
Unatafuta nyumba ya kisasa yenye ubora wa hali ya juu? Hii ni fursa nzuri kwako!
β¨ Sifa za Nyumba:
β
Vyumba 4 vya kulala (3 Master)
β
Sebule kubwa
β
Jiko la kisasa lenye makabati
β
Full AC
β
Electric Fence
β
Kisima cha maji
β
Paving ya kisasa
β
Decoration ya kisasa na finishing nzuri
β
Nyumba mpya kabisa
π Mahali:
β’ Mita 400 kutoka barabara ya lami
β’ Kilomita 6 kutoka Feri ya Kigamboni
β’ Kilomita 4 kutoka Daraja la Nyerere
π° Bei: TZS Milioni 350 (Mazungumzo)
#trendingvideo #istagram #realestateagent #tanzania #trendingaudio















