4 Bedrooms House for Sale in Kigamboni Kisota, Dar Es Salaam (800 sqm)


Kigamboni, Dar Es Salaam
4 hours ago
Sh. 650,000,000
Amenities
Description
GOROFA INAUZWA β KIGAMBONI KISOTA π’
Location: Kigamboni β Kisota
Vyumba 4 vya Kulala
Vyote ni Master Bedrooms
Ukubwa wa Eneo: SQM 800
Hati ya Wizara
Bei: TSh 650,000,000/=
FURSA NZURI YA UWEKEZAJI!
Kwa anayehitaji nyumba yenye nafasi kubwa na eneo zuri Kigamboni, hii ni fursa ya kuipata.
Kwa maelezo zaidi na kuiona nyumba, wasiliana nasi.















