4 Bedrooms House for Sale in Kigamboni Kisota Zaranga, Dar Es Salaam (450 sqm)

Type
House
Bedrooms
4
Plot Size
450 SQM
Nearest Road
200m
Description
š” NYUMBA NZURI YA KISASA INAUZWA ā KIGAMBONI KISOTA ZARANGA, DAR ES SALAAM š„
š° Bei: TZS Milioni 165 Tu (Mazungumzo yapo kidogo)
⨠Sifa za nyumba:
šļø Vyumba 4 vya kulala
šļø Sebule kubwa
š½ļø Dining
š³ Jiko la kisasa
šæ Finishing za kisasa (Tiles na Gypsum)
š³ Garden kubwa
š Parking ya kutosha
š§± Fence imara
ā” Electric Fence kwa usalama wa hali ya juu
š Ukubwa wa kiwanja: Square Meter 450
š Kiwanja kimepimwa na kipo Safe & Approved.
š Location: Kigamboni ā Kisota Zaranga
ā
Meta 200 tu kutoka barabara ya lami.
ā
Takribani Kilomita 5 hadi Ferry.
ā
Takribani Kilomita 4.5 hadi Daraja la Nyerere.
ā
Eneo linafaa kwa makazi na biashara.
š„ Usikose nafasi ya kumiliki nyumba bora kwenye eneo lenye maendeleo makubwa ya Kigamboni.
š Service Charge: TZS 30,000 (Kwa ajili ya kuoneshwa nyumba)
š Call/WhatsApp: +255 746 407 197
#creatorsearchinsights #dalalikigamboni #dalalidaressalaam #dalalinyumbaviwanja #realestateapartment nyumbainauzwa kigamboni dar es salaam viral















