4 Bedrooms House for Sale in Kisota, Dar Es Salaam

Amenities
Description
π‘ NYUMBA INAUZWA β KIGAMBONI KISOTA, DAR ES SALAAM π‘ O719969102
Unatafuta nyumba ya kifahari yenye mazingira mazuri na inayofaa kwa makazi au uwekezaji? Hii ndiyo fursa yako!
β¨ Sifa za nyumba:
* Vyumba 4 vya kulala
* Vyumba 2 ni Master
* Sebule kubwa
* Dining
* Jiko la kisasa
* Jiko la nje
* Banda la kupumzikia
* Garden ya matunda
* Garden ya maua
* Maegesho ya kutosha
π Mahali:
* Kigamboni Kisota, Ushuani β Dar es Salaam
* Mita 200 tu kutoka barabara ya lami
* Ipo kwenye mtaa wa kisasa wenye mazingira mazuri na utulivu
* Kilomita 4 tu hadi Feri
* Kilomita 3 tu hadi Daraja la Nyerere
β
Nyumba hii inafaa kwa kuishi, biashara, ofisi au uwekezaji wa muda mrefu.
π° Bei: TSh 295,000,000 tu.
π₯ Bei imeshuka kutoka TSh 360,000,000 β usikose nafasi hii ya kipekee!
π Service Charge: TSh 30,000
π² PIGA SIMU TWENDE SAITI
O719969102
.















