4 Bedrooms House for Sale in Mbagala Chamaz, Dar Es Salaam (400 sqm)

Amenities
Description
Hii ipo mbagala chamaz magengeni wadau yangu
Nyumba nzuri sana
Ina vyumba vya kulala vnne vyumba viwili ni masters bedroom ina stting room na dainingi room Ina jiko na store Ina public toilet ina maji na umeme upo wa luku
Eneo sqmt 400
Ina documents ya mauziano ya office ya serikali ya mtaa
Wadau wangu hii Nyumba ipo jilani kabisa na chamaz magengeni jilani na kituo cha dala dala cha magengeni ina uzwa bei nzuri sana tsh mil 65 tu
Kwa maelekezo zaidi nipigie CM au nicheki WhatsApp 🇹🇿 0759 203175 0652 618 143 🇹🇿















