4 Bedrooms House for Sale in Mbagala Maji Matitu, Dar Es Salaam

Amenities
Description
π‘ NYUMBA KALI YA KISASA INAUZWA β MBAGALA MAJI MATITU π‘
π° Bei: Milioni 150 (Mazungumzo yapo site na mwenye nyumba.)
π Nyumba ipo Mbagala Maji Matitu, umbali wa dakika chache sana kutoka barabara kuu ya lami, eneo lenye miundombinu mizuri na huduma zote muhimu.
β¨ SIFA ZA NYUMBA
β
Vyumba 4 vya kulala, vyote ni Master Bedroom
β
Sitting Room kubwa na ya kisasa
β
Dining Room
β
Jiko kubwa la kisasa
β
Umeme wa LUKU upo
β
Kisima cha maji kinachotoa huduma ya uhakika
β
Electronic Fence (uzio wa umeme)
β
CCTV Camera kwa usalama wa hali ya juu
π Hii ni nyumba bora kwa makazi ya familia au uwekezaji. Usikose nafasi hii ya kipekee!
π Kwa maelezo zaidi na kupanga kwenda kuiona site, piga simu: 0683 665504.
Asala kwa muuzaji, faida kwa mnunuzi!















