4 Bedrooms House for sale in Mbezi, Dar Es Salaam

Description
š” NYUMBA INAUZWA ā MBEZI MALAMBA MAWILI š”
Nyumba nzuri na ya kisasa inauzwa eneo la Mbezi Malamba Mawili, umbali wa dakika 10 tu kutoka kituoni, inafikika kirahisi kwa gari.
⨠Sifa za nyumba:
⢠Vyumba 4 (kimoja Master)
⢠Sebule kubwa na ya kisasa
⢠Dining
⢠Jiko lenye makabati + store
⢠Choo cha wageni (public)
⢠Maji ya uhakika
š Ukubwa wa eneo: SQM 400
š° Bei: Milioni 85
š Inafaa kwa makazi binafsi au uwekezaji (kupangisha na kupata kipato).
š¼ Service charge: 30,000/=
š Muhitaji piga: +255 688 412 890
Karibu tajiri Mbezi Malamba Mawili!















