Search

4 Bedrooms House for Sale in Mikwambe, Dar Es Salaam (300 sqm)

Sh. 33,000,000

Description

🏑 NYUMBA YA KUANZIA MAISHA INAUZWA – KIGAMBONI, MIKWAMBE 🏑

Unatafuta nyumba yenye mapato ya uhakika katika eneo lenye biashara? Hii ni fursa nzuri kwako!

✨ Sifa za Nyumba:
βœ… Vyumba 4 vya kupangisha (kimoja ni master)
βœ… Eneo la takribani SQM 300
βœ… Shimo la choo tayari
βœ… Tayari kuna wapangaji, hivyo utaanza kupata mapato mara moja

πŸ“ Mahali:
β€’ Mita 500 kutoka barabara kuu
β€’ Kilomita 10 kutoka Ferry
β€’ Kilomita 9 kutoka Daraja la Nyerere

πŸ“„ Nyaraka: Serikali ya Mtaa

⚑ Huduma Zinazopatikana:
βœ”οΈ Umeme
βœ”οΈ Maji
βœ”οΈ Eneo lenye shughuli nyingi za biashara

πŸ’° Bei: TSh Milioni 33 (Mazungumzo yapo)

πŸ’΅ Service Charge: TSh 30,000

πŸ“ž Wasiliana Nasi:

#trendingpage #istagram #realestatemarket #realestateagent #trendingaudio

Dalali Kigamboni mbavu

dalali__kigamboni_mbavu

@dalali__kigamboni_mbavu

View Listings

Similar properties in Mikwambe, Dar Es Salaam

3 Bedrooms House for Sale in Mikwambe, Dar Es Salaam (500 sqm)

Sh. 145,000,000

For Sale3 beds0 baths500 sqmhouse
Dalali Kigamboni mbavu