5 Bedrooms House for Rent in Goba / Makabe, Dar Es Salaam
Description
⚠️ STAND-ALONE INAPANGISHWA:
Nyumba za namna hii hazikaagi sokoni kabisa! Watu ni wengi na wanaoiwahi ndio watakaochukua. Kama unatafuta utulivu wa stand-alone kwa bei ya mchongo, changamkia fursa hii sasa hivi kabla haijachukuliwa!
📍 MAHALI: Njiapanda ya Goba / Makabe
🔥 SIFA ZA NYUMBA:
🛏️ Vyumba Vitano (5) vya kulala.
🚿 Vyumba Vitatu (3) ni Master bedrooms.
🛋️ Sebule kubwa (Sitting room).
🍽️ Dining Room ya kutosha.
🍳 Jiko Kubwa la kisasa.
💰 KODI: Laki 6 tu (600,000/=) kwa mwezi!
🛑 ANGALIZO: Usiseme hatukukuambia! Nyumba za stand-alone maeneo haya zinagombaniwa sana. Wahi sasa hivi kabla mteja mwingine hajaweka hela!
Call/WhatsApp..















