5 Bedrooms House for Sale in Kibada C Ya Radi, Dar Es Salaam

Amenities
Description
🏢 Gorofa la Kisasa Linauzwa – Kigamboni Kibada, C ya Radi 🏢
Nyumba ya kisasa yenye hadhi kubwa inauzwa eneo la Kibada C ya Radi, Kigamboni. Ni nyumba nzuri sana ya uwekezaji iliyopo pembezoni mwa barabara kuu ya lami.
✨ Sifa za Nyumba:
✔️ Vyumba 5 vya kulala
✔️ Vyumba 4 ni master
✔️ Sebule kubwa
✔️ Dining room
✔️ Jiko la kisasa
✔️ Full AC
✔️ Full paving
✔️ Seven quarter yenye chumba, sebule na jiko
✔️ Nyumba imejivusha vizuri sana
✔️ Imegusa barabara ya lami moja kwa moja
📍 Faida za Eneo:
✅ Inafaa kwa Airbnb
✅ Inafaa kwa hotel au guest house
✅ Investment house yenye mazingira mazuri sana
✅ Eneo limepimwa
✅ Hati kamili ya wizara
💰 Bei:Million 900
(Maongezi madogo yapo kwa mteja serious)
📞076955421
#trendingvideo #istagram #tanzania #realestateforsale #trendingaudio















