5 Bedrooms House for Sale in Kisota, Kigamboni, Dar Es Salaam (1600 sqm)

Type
House
Bedrooms
5
Plot Size
1600 SQM
Nearest Road
300m
Amenities
Description
🏢 GOROFA + KIWANJA KIKUBWA VINAUZWA – KISOTA, KIGAMBONI 🔥📈 ✨ Fursa ya kipekee kwa uwekezaji – eneo kubwa lenye potential kubwa sana! 📍 Location: Kisota (Slum Block 1), Kigamboni – Dar es Salaam 📏 Umbali: • Mita 300 kutoka barabara ya lami • Km 2.5 hadi Ferry • Km 2.5 hadi Daraja 🔹 Sifa za Gorofa: • 🛏️ Vyumba 5 vya kulala • 🛁 Vyumba 3 ni Master • 🛋️ Sebule kubwa • 🍽️ Dining area • 🍳 Jiko la kisasa 🔹 Sifa za Kiwanja: • 📐 Sqm 1600 (Kikubwa sana) • 🚧 Kimezungushiwa fence • 🏠 Kuna jengo lenye vyumba 7 (tayari lina mpangaji) • 📄 Hati safi ya Wizara 🌟 Faida za Eneo: • Inagusa barabara ya mtaa • Mtaa mkubwa na wenye ulinzi • Mazingira ya kishua na yanayokua kwa kasi • Inafaa kwa biashara, apartments au uwekezaji mkubwa 💰 Bei: TZS 350,000,000 (Milioni 350) ⚠️ Service Charge: TZS 30,000 (Viewing) 📞 Wasiliana Nasi: Call/WhatsApp: +255 746 407 197 ⸻ #creatorsearchinsights #dalalikigamboni #dalalidar es salaam #dalalinyumbaviwanja #realestateapartment dalalidaressalaam kigamboni kisota uwekezaji realestateinvestment houseforsale















