6 Bedrooms House for Sale in Mbagala Chamazo/Kwa-Mkongo, Dar Es Salaam (700 sqm)
Mbagala, Dar Es Salaam
3 hours ago
Sh. 230,000,000
Description
NYUMBA MPYA VYUMBA 6,TZS.230 MILIONI,MBAGALA CHAMAZI/KWA-MKONGO.
Ni Jirani na Barabara ya Lami.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 700.
Umiliki NI MKATABA WA MAUZIANO.
Vyumba 6 (Kila Chumba na Choo chake ndani.
Pia ina Sebule, Jiko, Dining-room,
Store na Choo cha Familia ndani.
Inawekewa ACs,CCTv.
Parking ipo ya kutosha .
__________________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
________________jc















