6 Bedrooms House/Apartment for sale in Mlimwa C, Mtaa Wa Mathias, Dodoma

Amenities
Description
π’ APARTMENT 4 ZINAUZWA β MLIMWA C, MTAA WA MATHIAS, DODOMA
π° BEI: TSH MILIONI 150 TU
π DOKUMENTI: HATI HALALI (TITLE DEED)
π UKUBWA WA ENEO: SQM 618
Fursa nzuri kwa mwekezaji anayehitaji kumalizia ujenzi na kuanza kuvuna mapato katika eneo linalokua kwa kasi Jijini Dodoma.
Mali hii inajumuisha Apartment 4 ndani ya compound moja.
π APARTMENT 2 ZA KWANZA (ZIMEUNGANA)
β
Paa limekamilika
β
Blundering ya ndani imefanyika
β
Mfumo wa maji safi na majitaka umewekwa
β
First fitting ya mabomba imefanyika
β
First fitting ya umeme imefanyika
β
Grili za madirisha zimewekwa
β
Milango imewekwa
Muundo wake:
ποΈ Vyumba 2 vya kulala (vyote Master)
ποΈ Sebule
π½οΈ Jiko
π APARTMENT 2 ZINGINE
β
Zimefikia hatua ya lenta na kozi 3 juu
Muundo wake:
ποΈ Chumba Master
ποΈ Sebule
π½οΈ Jiko
π FURSA YA UWEKEZAJI
Mwekezaji anaweza kuziendesha kama Rental Apartments au Airbnb.
πΉ Apartment za vyumba 2 (vyote Master) zikikamilika kwa finishing nzuri zinaweza kupangishwa kati ya TSh 400,000 β 500,000 kwa mwezi.
πΉ Apartment za Chumba Master, Sebule na Jiko zinaweza kupangishwa kati ya TSh 250,000 β 300,000 kwa mwezi.
π¨ KWA UPANDE WA AIRBNB
πΉ Apartment za vyumba 2 (vyote Master) zina uwezo wa kuingiza kati ya TSh 120,000 β 150,000 kwa siku.
πΉ Apartment za Chumba Master, Sebule na Jiko zina uwezo wa kuingiza kati ya TSh 80,000 β 100,000 kwa siku.
π₯ Nunua leo, malizia ujenzi kwa ubora unaoutaka na ujenge chanzo imara cha mapato katika moja ya maeneo yanayokua kwa kasi Jijini Dodoma.
π Mlimwa C, Mtaa wa Mathias, Kata ya Miyuji β Dodoma
π° BEI: TSh 150,000,000/= (Mazungumzo yapo kidogo)
π 0622003172
βοΈ 0713132555
TikTok: dalali_dodoma_pro















