7 Bedrooms House for Sale in Kibada Ushuani, Dar Es Salaam (1800 sqm)

Type
House
Bedrooms
7
Plot Size
1800 SQM
Nearest Road
300m
Amenities
Description
๐ก BOMA LA KIFAHARI LINAUZWA โ KIGAMBONI KIBADA USHUANI, DAR ES SALAAM ๐ก
๐ฅ Nyumba kubwa ya kisasa yenye vyumba 7 inauzwa katika eneo la kifahari sana Kibada Ushuani, Kigamboni.
Nyumba imejengwa kwa standard ya hali ya juu sana ingawa bado haijakamilika kabisa โ foundation na structure yake ni ya kisasa na imara sana.
๐ LOCATION: Kibada Ushuani โ Kigamboni, Dar es Salaam
๐ Ukubwa wa eneo: SQM 1,800
๐ Hati safi
๐ Eneo kubwa la parking
๐ด Space ya garden
๐โโ๏ธ Eneo la swimming pool
๐๏ธ Nafasi ya servant quarter
๐งฑ Paving na maboresho mengine yanaweza kukamilishwa kwa urahisi
โ
Umbali:
* Mita 300 tu kutoka barabara ya lami
* Kilometa 7 mpaka Ferry
* Kilometa 6 mpaka Darajani
๐ Mtaa mzuri sana wenye maendeleo makubwa na majirani wa kisasa.
๐ฐ BEI: TZS 250,000,000
๐ฃ๏ธ Mazungumzo madogo yapo.
๐ต Service Charge: Tsh 30,000 kwa kwenda kuona site
๐ Call / WhatsApp: +255746407197
#creatorsearchinsights #dalalikigamboni #dalalidar es salaam #dalalinyumbaviwanja #realestateapartment dalalidaressalaam kigamboni nyumbainauzwa dar es salaamrealestate















