Search

8 Bedrooms House for sale in Magomeni Kagera, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 230,000,000

Description

INAUZWA: VYUMBA 8, TZS.230 MIL, MAGOMENI-KAGERA.

Ipo jirani na Barabara ya Lami

Ni nyumba ya pande 3.
Kote kuna Wapangaji.

Endelea kuokota Kodi,
Njoo uishi na Familia yaki au tena
Boresha uifanye Air BnB.

WAHI UKICHELEWA SANA UTAIKOSA.

_______________

ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)

Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.

+255 714 591 548

_______________ryt