8 Bedrooms House for Sale in Mbezi Mwisho, Dar Es Salaam (600 sqm)

Amenities
Description
π‘ NYUMBA YA BIASHARA INAUZWA β MBEZI MWISHO
Fursa adhimu ya uwekezaji katika eneo la Mbezi Mwisho, karibu sana na barabara ya lami. Nyumba ya tatu tu kutoka barabara kuu ya lami, hivyo kufikika ni rahisi wakati wote.
β
Eneo lina ukubwa wa sqm 600
β
Ina vyumba 8 vya kupanga, vyote vikiwa master self-contained
β
Vyumba vyote vina wapangaji tayari
β
Kila chumba kinakodishwa kwa TSh 150,000 kwa mwezi
β
Inazalisha mapato ya uhakika kila mwezi
β
Karibu na St. Joseph University, hivyo mahitaji ya vyumba vya kupanga ni makubwa muda wote
Kwa wawekezaji, nyumba hii inaweza kuendelea kutumika kama hostel au kubadilishwa kuwa guest house/lodge. Maeneo hayo chumba kimoja kinaweza kuingiza kati ya TSh 30,000 β 50,000 kwa siku kulingana na ubora wa finishing.
π Thamani ya eneo inaendelea kuongezeka kila mwaka, hivyo ni uwekezaji wenye faida ya mapato ya kila mwezi pamoja na ongezeko la thamani ya mali.
π° Bei: TSh 135,000,000 (Milioni 135)
Service charge / Gharama ya huduma: 30,000/=
π Muhitaji piga: +255688412890
βDalali wako Wakishuaβ π‘β¨















