1 Bedroom Apartment for Rent in Buza, Dar Es Salaam
Amenities
Description
π‘ APARTMENT MPYA INAPANGISHWA β BUZA
β¨ Sifa za Nyumba:
ποΈ Chumba 1 cha Master Bedroom
ποΈ Sebule yenye nafasi ya kutosha
π½οΈ Jiko la wazi (Open Kitchen) la kisasa
βοΈ Full Air Condition (AC)
β‘ Luku yako binafsi
π§ Maji yako binafsi
π Parking ya kutosha
π£οΈ Ipo karibu kabisa na barabara ya lami
π° Masharti ya Kodi:
π΅ Kodi: TSh 400,000 kwa mwezi
π
Malipo ya miezi 6 mbele
π€ Malipo ya dalali ni kodi ya mwezi mmoja
π Wasiliana Nasi:
MAKINI REAL ESTATE
π² (Piga Simu au WhatsApp)
NB:
πΉ Pesa ya kuonyesha nyumba ni TSh 25,000.
Usikose fursa hii! Wasiliana nasi leo kupitia MAKINI REAL ESTATE ili kupanga muda wa kuja kuiona na kuikodi kabla haijachukuliwa.















