1 Bedroom Apartment for Rent in Kimara Korogwe, Dar Es Salaam









Amenities
Description
🇹🇿 APARTMENT MPYA YA KISASA INAPANGISHWA KIMARA KOROGWE.
📍 Kimara Korogwe
🕒 Umbali wa 1km kutoka stand ya mwendo kasi Kimara Korogwe, usafiri wa bodaboda ni Tsh 1,000 tu, kwa mguu ni dakika 15 pekee.
🏠 SIFA ZA NYUMBA
🔹 Chumba Kimoja Master
🔹 Sebule kubwa
🔹 Jiko la kisasa lenye Full Makabati
🔹 Umeme & Maji vinajitegemea
🔹 Maji yanapatikana masaa 24/7
🔹 Fenced Car Parking kubwa sana
👉 Nyumba hii ni mpya kabisa na kwa sasa inaendelea na maboresho ya mwisho kama fence, paving blocks, parking pamoja na finishing za mwisho ili kuhakikisha mazingira yanakuwa safi na ya kisasa zaidi kwa mpangaji.
✅ Kuingia tarehe 01/06/2026 ikiwa imekamilika vizuri kabisa.
GHARAMA
🔸 Kodi Tsh 350,000/= ×6 (Miezi Sita)
🔸 Malipo ya Dalali Tsh 350,000/=
🔸 Service Charge Tsh 20,000/=
#Piga_Simu👇
& WhatsApp
##0688617926
##0655256419















