1 Bedroom Apartment for Rent in Kimara Korogwe, Dar Es Salaam
Amenities
Description
π‘ APARTMENT YA KUPANGISHA β KIMARA KOROGWE π
Apartment itakuwa wazi tarehe 20 mwezi huu baada ya mpangaji wa sasa kuhama. Unaweza kuja kuiona na kufanya malipo mapema ili ku-reserve nyumba yako.
π Mahali: Kimara Korogwe
β¨ Kisasa β’ Starehe β’ Usalama
π Airbnb inaruhusiwa
π VITU VILIVYOMO
ποΈ Chumba 1 cha Master β Self Contained
ποΈ Sebule kubwa yenye nafasi ya kutosha
π½οΈ Jiko la kisasa lenye kabati zilizojengwa ndani
π HUDUMA BURE
π§ Maji β BURE
π§Ή Usafi β BURE
π‘οΈ Ulinzi β BURE
β‘ UMEME
π‘ LUKU β Mpangaji anajilipia mwenyewe
π° GHARAMA
π Kodi: TZS 500,000 kwa mwezi
π
Malipo: Miezi 3 mbele
π΅ Dhamana: TZS 500,000 (Kodi ya mwezi 1)
π
π Viewing: TZS 30,000 itadumu mpaka upate bila kuchajiwa tena ukipenda nyumba utalipa mwezi mmoja kwa dalali pindi unapolipia nyumba
O673189014 call/whatsapp number
#fyp#viral#fyp















