1 Bedroom Apartment for Rent in Kimara Korogwe, Dar Es Salaam

Description
(230,000X4)KIMARA KOROGWE 1.8KM BAJAJI 700
______________
🇹🇿 APARTMENT YA KISASA NZURI SANA INAPANGISHWA – KIMARA KOROGWE
📍 Kimara Korogwe, Kilungule
🕒 Umbali wa km 1.8 kutoka stand ya mwendo kasi – usafiri wa bajaji Tsh 700 tu, ukishuka unapiga mlango teke!
#SIFA ZA NYUMBA
🔹 Chumba kimoja (Master)
🔹 Sebule nzuri na ya kisasa
🔹 Jiko la kisasa (Open Kitchen)
🔹 Maji yanapatikana ndani masaa 24/7
🔹Fenced hamna & Parking kubwa ya kutosha
👉 Ya chini ipo wazi kuhamia muda wowote .
. #GHARAMA
🔹 Kodi: Tsh 230,000 × 4 (miezi minne)
🔹 Malipo ya Dalali: Tsh 230,000/=
🔹 Service Charge: Tsh 20,000/=
#Piga_simu👇
📞
📲 & Whatsapp us 🙏
0716223412
0662715781
Karibu Sana Mteja 😁















