1 Bedroom Apartment for Rent in Ubungo Riverside, Dar Es Salaam









Amenities
Description
Apartment Inapangishwa UBUNGO RIVERSIDE dk 10 -12 kutoka main road
NYUMBA INA CHUMBA KIMOJA CHA KULALA
Master Bedroom
Hakuna sebule
Maji yana flow ndani
Full tilles, gypsum & aluminum
Iko kwenye fenci
Usalama wakutosha
Kodi 200,000/= Kwa mwezi, Malipo miezi 3
Umeme, Maji,ulinzi , taka 31,000/= ×3
Kwa maelezo zaidi piga:-
0712528820
0685221354
Mr.















