3 Bedrooms Apartment for Sale in Kifuru, Dar Es Salaam
Amenities
Description
π‘ APARTMENTS MPYA ZINAUZWA β KIFURU! π‘
Je, unatafuta uwekezaji wenye kipato cha uhakika? Hii ndiyo fursa yako!
π Eneo: Kifuru β Dakika 5 tu kutoka kituoni, barabara inafikika kwa urahisi.
β¨ Maelezo ya Nyumba:
β
Jumla ya nyumba 5
π Nyumba 4 zina:
* Chumba 1 (Master)
* Sebule
* Jiko
* Kodi: TSh 250,000 kwa mwezi kila nyumba
* Zote zimepangishwa
π Nyumba 1 ina:
* Vyumba 3 (Kimoja Master)
* Sebule
* Jiko
* Choo cha Public
* Kodi: TSh 400,000 kwa mwezi
* Tayari imepangishwa
π§ Maji yapo
β‘ Umeme upo
π Parking ya kutosha
π° Bei: TSh 150,000,000
π€ Malipo kwa awamu yanakubalika
Hii ni fursa adhimu kwa mwekezaji. Unaweza kuishi kwenye nyumba kubwa ya vyumba vitatu pamoja na familia yako huku nyumba nyingine nne zikiendelea kukuingizia mapato ya kodi kila mwezi.
π Service Charge: TSh 30,000/=
Karibu uwekeze leo β miliki mali yenye kukuletea kipato cha kudumu!
@Dalali_amani_kimara
+255 (0) 654 101 710
+255 (0) 787 205 300



