2 Bedrooms Apartment for Rent in Kimara Korogwe, Dar Es Salaam









Type
Apartment
Bedrooms
2
Bathrooms
1
Nearest Road
2km
Amenities
Description
🇹🇿 #APARTMENT NZURI SANA YA KISASA #INAPANGISHWA
––––––
📍 Kimara Korogwe (kwa Mkuwa)
🕒 Kilomita 2 kutoka Mwendokasi, bajaji Tsh 500 tu. Ukishuka unatembea dakika 15, au bodaboda Tsh 1,000 tu mpaka getini.
#SIFA ZA NYUMBA.
🔹 Vyumba viwili vya kulala, kimoja Master
🔹 Sebule
🔹 Hakuna jiko
🔹 Umeme na maji vinajitegemea
🔹 Maji yanapatikana ndani masaa 24/7
🔹 Fenced compound yenye car parking kubwa sana
👉Nyumba hii itakuwa wazi tarehe 20/07/2026 kuona mazingira ya nje na kufanya malipo. Booking inaruhusiwa. Anahitajika mpangaji wa kike vyumba sio kubwa familia kubwa haitoshi hapa.
GHARAMA
🔸 Kodi Tsh 200,000/= × 6 miezi
Dalali mzoefu mwezi mmoja ulipiapo nyumba sevchage 20,000 kuona nyumba
Mawasiliano 0656623510
Wsp 0752436347















