2 Bedrooms Apartment for Rent in Kimara Korogwe, Dar Es Salaam









Amenities
Description
๐น๐ฟ #APARTMENT NZURI SANA YA KISASA #INAPANGISHWA
โโโโโ
๐Kimara Korogwe (kwa Mkuwa)
๐ Kilomita 2 kutoka Mwendokasi, bajaji Tsh 500 tu. Ukishuka unatembea dakika 15, au bodaboda Tsh 1,000 tu mpaka getini.
#SIFA ZA NYUMBA.
๐น Vyumba viwili vya kulala, kimoja Master
๐น Sebule
๐น Hakuna jiko
๐น Umeme na maji vinajitegemea
๐น Maji yanapatikana ndani masaa 24/7
๐น Fenced compound yenye car parking kubwa sana
๐Nyumba hii itakuwa wazi tarehe 20/07/2026 kuona mazingira ya nje na kufanya malipo. Booking inaruhusiwa. Anahitajika mpangaji wa kike vyumba vya wastani Tu.
๐ถ Kodi Tsh 200,000/= ร 6 miezi
๐ถ Malipo ya Dalali Tsh 200,000/=
๐ถ Service Charge Tsh 20,000/=
#Piga_simu ๐
#Follow us๐
Karibu Sana Mteja๐
dalali osama contact
0674198120....0757908120















