2 Bedrooms Apartment for Rent in Kimara Korogwe, Dar Es Salaam









Amenities
Description
🇹🇿 #APARTMENT NZURI SANA YA KISASA #INAPANGISHWA
––––––
📍 Kimara Korogwe (kwa Mkuwa)
🕒 Kilomita 2 kutoka Mwendokasi, bajaji Tsh 500 tu. Ukishuka unatembea dakika 15, au bodaboda Tsh 1,000 tu mpaka getini.
#SIFA ZA NYUMBA.
🔹 Vyumba viwili vya kulala, kimoja Master
🔹 Sebule
🔹 Hakuna jiko
🔹 Umeme na maji vinajitegemea
🔹 Maji yanapatikana ndani masaa 24/7
🔹 Fenced compound yenye car parking kubwa sana
👉Anahitajika mpangaji wa kike vyumba sio kubwa familia kubwa haitoshi hapa.
GHARAMA
🔸 Kodi Tsh 200,000/= × 6 miezi
🔸 Malipo ya Dalali Tsh 200,000/=
🔸 Service Charge Tsh 20,000/=
0713661530_0783661530















