2 Bedrooms Apartment for Rent in Kimara Korrogwe, Dar Es Salaam

Amenities
Description
APARTMENT INAPANGISHWA –
Apartment nzuri inapangishwa Kimara Korrogwe umbali wa dakika 7 kwa miguu kutoka stendi.
✅ Vyumba 2 vya kulala (vyote Master Bedroom)
✅ Sebule kubwa
✅ Jikoni cha kisasa
✅ Public toilet
✅ Full AC
✅ Umeme na maji ya kujitegemea
✅ Ndani ya fensi salama
✅ Electronic fence
✅ Remote control gate
✅ Mazingira mazuri na salama
💰 Kodi: Tsh 700,000 kwa mwezi
📍 Gharama ya kwenda kuona nyumba: Tsh 20,000
📌 dalali utamlipa mwezi mmoja, pindi ulipiapo nyumba
Kwa maelezo zaidi piga simu 0684561351















