2 Bedrooms Apartment for Rent in Mbezi Beach Massana, Dar Es Salaam

Amenities
Description
INAPANGISHWA
APARTMENT-MBEZI BEACH MASSANA
DAR ES SALAAM
Kodi: Tsh MIL 1,200,000/= kwa mwezi
* Sifa za nyumba:
Vyumba 2 vikubwa vya kulala (kimoja ni
Master)
• Sebule kubwa na Jiko lenye makabati
• Bafu la ndani na la public
• Gypsum, Tiles, na Windows za Slides
• Umeme wa Luku binafsi
• Maji ya bomba saa 24
• Parking space ipo
• Nje imepangwa kwa Paving blocks
• Nyumba imezungushiwa uzio (Fenced)
Wasiliana nami
Dalali mbezibeach _rahimu
Contact 0788002802
WhatsApp 0788783636
Karibuni sana wateja wangu 🙏🙏















