2 Bedrooms Apartment for Rent in Mbezi Makonde, Dar Es Salaam









Description
Habari za jioni, hamjambo. Poleni na majukumu.
Naomba kutangaza, nina
Apartment :
#Mbezi Makonde
#mtaa wa Flamingo/ Upendo karibu kwa Dr. Hiza
# 2 bedrooms
# moja master
#AC viumba vyote
parking
gorofa ya kwanza yenye baraza
maji ni buree
usafi wa mazingira
ulinzi
jiko
public toilet
bei 1,500,000 kwa mwezi
deposit mwezi moja
kodi miezi sita.
Karibuni sanaaaa
0625584914















