2 Bedrooms Apartment for Rent in Sinza, Dar Es Salaam

Amenities
Description
APARTMENTS MPYA,VYUMBA 2/3, SINZA.
Hapa kuna za vyumba 2 na za vyumba 3.
Kila Moja inahusisha Masta 1,
Sebule na Choo cha Familia kimoja ndani.
Kodi ni Tzs.1 2/1.5 Milioni.
Eneo ni Jirani na Kituo cha Daladala.
Nyumba ni ya Kisasa.
Usalama upo na nyumba zina Balcony.
______________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni Kodi ya Mwezi mmoja.
Kuona ni Tzs.30,000.
(Unalipa wewe MPANGAJI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
+255 714 591 548
_______________cm















