Search

2 Bedrooms Apartment for Rent in Tandika, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 700,000/month

Description

🏡✨ APARTMENT MPYA YA KISASA INAPANGISHWA ✨🏡

📍 TEMEKE – TANDIKA

🏢 MAKINI REAL ESTATE

🌟 Pata makazi ya kisasa yenye usalama, utulivu na huduma bora katika eneo linalofikika kwa urahisi!

🏠 SIFA ZA NYUMBA

🛏️ Vyumba 2 vya kulala
👑 Kimoja ni Master Bedroom
🛋️ Sebule ya kisasa
🍽️ Jiko zuri
🚻 Public Toilet
❄️ Full AC
♨️ Heater ya maji ya moto
🚗 Parking ya kutosha
🔐 Remote Gate
⚡ LUKU yako
💧 Maji ya kisima ya uhakika
🏢 Apartments 4 tu ndani ya geti moja

📍 Ipo karibu sana na Barabara Kuu pamoja na Stendi za Usafiri.

💰 GHARAMA

💵 Kodi: TZS 700,000
📅 Malipo: Miezi 3 mbele

💼 Malipo ya Dalali: Kodi ya mwezi mmoja

🛡️ SERVICE CHARGE – TZS 100,000 kwa mwezi

Inajumuisha: 📶 Wi-Fi ya kasi
💧 Bili ya maji
🛡️ Ulinzi
🗑️ Uondoaji wa taka
🧹 Usafi wa mazingira ya nyumba

📌 NB: Pesa ya kuangalia nyumba ni TZS 30,000.

📲 Wasiliana Nasi Sasa!

🏢 MAKINI REAL ESTATE
📞 0755 100 856 (Simu & WhatsApp)

✨ Chagua makazi yenye hadhi na ubora. Wasiliana nasi leo kabla nafasi hazijaisha!