2 Bedrooms Apartment for Sale in Kariakoo, Dar Es Salaam

Type
Apartment
Bedrooms
2
Bathrooms
2
Amenities
Description
ποΈποΈ APARTMENT INAUZWA β KARIAKOO, BARABARA YA LUMUMBA ποΈποΈ
β¨ Apartment ya vyumba 2 vya kulala (Ipo ghorofa ya juu kabisa)
π Ina muonekano wa bahari na π muonekano wa jiji kwa pamoja
π° Bei: TSH Milioni 199
πΉ Ni nyumba kamili
βοΈ Sebule
βοΈ Jiko lililofungwa lenye makabati kamili
βοΈ Vyumba 2 vya kulala (vyote vina bafu la ndani β ensuite)
βοΈ Store
βοΈ Mabaraza (balconies)
βοΈ Lift (elevator)
βοΈ A/C
βοΈ Inahitaji marekebisho madogo kabla ya kuhamia
π Eneo la kibiashara sana β Kariakoo / Posta (CBD)
π Rahisi kwa shughuli zote za mjini
π Inafaa sana kwa upangishaji wa muda mrefu
(Wafanyabiashara wa Kariakoo β Wahindi, Wachina, Wabongo na wengine)
π Umiliki: Hati safi ya Sub-Title (Sole Ownership)
π Piga: +255 688 412 890
Viewing fee 30,000/=
π₯ Fursa adimu katikati ya jiji β uwekezaji wa uhakika kabisa!
