2 Bedrooms Apartment for Sale in Tabata Segerea, Dar Es Salaam

Type
Apartment
Bedrooms
2
Amenities
Description
APARTMENT 5 ZINAUZWA PAMOJA,TSHS.300 MILIONI,TABATA SEGEREA. Hizi ni Apartments (Nyumba) za kisasa. Kila moja ina Vyumba 2 ( Masta 1) Sebule na Jiko. Na Maduka 2. Kote kuna Wapangaji sasahivi. Hivyo ukizinunua utaamua wewe undelee na Wapangaji wslipo ama Uanze na Wapya. Kwa pamoja zinakusanya KODI ya zaidi ya Shilingi Milioni 2 kila Mwezi. Parking ipo nzuri yenye Paving na Mtaa ni tulivu. ______________ ANGALIZO: Malipo ya Dalali ni 10% Kuona ni Tshs.50,000. (Unalipa wewe MNUNUZI) Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu. +255 714 591 548 _______________Ouk














