Apartments for Sale in Upanga Olympio, Dar Es Salaam

Description
šļø APARTMENT ZA KIFAHARI ZINAUZWA ā UPANGA OLYMPIO | DAR ES SALAAM
Miliki apartment ya kisasa katika eneo la kifahari la Upanga Olympio, karibu na katikati ya jiji la Dar es Salaam. Eneo hili lina utulivu, usalama wa hali ya juu na linafaa kwa makazi au uwekezaji wenye faida.
Aina za Apartment Zinazopatikana
ā
3 Bedroom Apartment
* Vyumba 3 vya kulala
* Master Bedroom
* Sebule kubwa
* Dining
* Jiko la kisasa lenye makabati
* Store
* Choo cha wageni
š° Bei: USD 250,000 (takribani TSh 657,750,000)
ā
4 Bedroom Apartment
* Vyumba 4 vya kulala (vyote Master)
* Sebule kubwa
* Dining
* Jiko la kisasa lenye makabati
* Store
* Choo cha wageni
š° Bei: USD 300,000 (takribani TSh 789,300,000)
Vifaa na Huduma
ā
Full Air Conditioners (AC)
ā
Water Heaters
ā
Ceiling Fans
ā
Lift za kisasa
ā
CCTV za ulinzi 24/7
ā
Standby Generator
ā
Parking ya kutosha
ā
Mazingira salama na yenye hadhi
Mpango Rahisi wa Malipo
āļø Down Payment kuanzia 50%
āļø Malizia salio kwa awamu ndani ya miaka 2, huku ukiendelea kuishi au kuitumia apartment yako.
Fursa ya Uwekezaji
Apartment hizi zinafaa kwa:
* Makazi binafsi
* Wafanyabiashara wanaofanya shughuli Kariakoo na katikati ya jiji
* Kupangisha kwa muda mrefu
* Airbnb / BnB
Mapato ya upangishaji yanaweza kuanzia TSh 7,000,000 kwa mwezi na kuendelea.
Wekeza leo kwenye moja ya maeneo yenye thamani kubwa zaidi jijini Dar es Salaam.
#Upanga
#Kariakoo















