Search

Beach Plots for Sale in Kimbiji, Dar Es Salaam

 media -1
media -1
Sh. 30,000/sqm

Description

๐ŸŒฟโœจ Wiki mpya imeanza, Na hii ni nafasi nyingine ya kuandika historia mpya ya maisha yako. Kila hatua unayochukua leo ndiyo msingi wa mafanikio yako ya kesho. Usidharau mwanzo mdogo, maana kila uwekezaji mkubwa uliwahi kuanza kwa hatua moja ya uamuzi.
Katika maisha, muda hausubiri mtu. Wale wanaofanikiwa ni wale wanaoamua kuanza mapema, kujifunza, kuwekeza, na kusimamia ndoto zao kwa vitendo. Leo hii unaweza kuchagua kubaki pale pale ulipo, au unaweza kuchukua hatua ya kubadilisha maisha yako kabisa kupitia uwekezaji wenye thamani na matokeo ya muda mrefu. ๐ŸŒฑ๐Ÿ“ˆ
Trust Solution Company Ltd tunaamini kila mtu ana ndoto ya kuwa na maisha bora, uhuru wa kifedha, na future yenye amani. Ndiyo maana tunakusogezea fursa salama na yenye manufaa ili uweze kujenga kesho yako kwa uhakika. Kumbuka, ardhi na uwekezaji mzuri havipotezi thamani โ€” vinaongeza thamani kadri muda unavyosonga. ๐Ÿกโœจ
Usiseme โ€œnitafanya keshoโ€ wakati leo ndiyo nafasi yako ya kuanza. Panda mbegu ya mafanikio sasa ili kesho uvune matunda ya furaha, maendeleo, na utulivu wa maisha yako pamoja na familia yako.
๐Ÿ’ผ Anza leo
๐Ÿ“ Wekeza kwa malengo
๐Ÿ“ˆ Jenga future yako
๐Ÿค Na sisi tupo pamoja nawe kila hatua
Mradi

๐Ÿ“ŒKimbiji kwa Chale

๐Ÿ“ Mita 200 tu kutoka barabara kuu
๐ŸŒŠ Mita 600 kutoka baharini
๐Ÿ’ฐ Bei ni sh 30,000 kwa sqm
โœ… Anza na down payment ya 20% tu
๐Ÿ“† Lipa kidogo kidogo hadi miezi 18

๐Ÿ“ BUYUNI (MTI MWEUPE), Kigamboni โ€“ Dar es Salaam
โœ” Km 2 kutoka Baharini
โœ” Km 1 kutoka Barabara kuu
๐Ÿ’ฐ Bei Maalum:
โ€ข Tsh 17,000 kwa mita ya mraba (Cash)
โ€ข Tsh 19,000 kwa mita ya mraba (Installment)
โœ” Malipo kwa awamu hadi miezi 24 Wasiliana nasi: ๐Ÿ“ž+255 748 303 601 Ofisi zipo

๐Ÿ“Makumbusho jengo la Dermplaza floor ya 11 ๐Ÿ€The best time to plant was yesterday, the next best time is NOW.๐ŸŒฟ
#HappyNewWeek #InvestToday #SecureTomorrow #Uwekezaji #AndaMaKazi FinancialFreedom GrowYourWealth StartGrowProsper FutureStartsNow