Commercial Plot for Sale in Kigamboni Kisota, Dar Es Salaam (4000 sqm)

Amenities
Description
๐ก๐ข KIWANJA CHA UWEKEZAJI KINAUZWA โ KIGAMBONI KISOTA ๐ข๐ก
Fursa adhimu kwa wawekezaji wakubwa kumiliki kiwanja chenye eneo kubwa katika Kigamboni Kisota, eneo linalokua kwa kasi na lenye miundombinu mizuri.
โ
Eneo la Face B
โ
Tambarare kabisa na tayari kwa maendeleo
โ
Barabara inafikika kwa urahisi
โ
Mita 300 tu kutoka barabara kuu ya lami
โ
Kilomita 3.5 kutoka Feri ya Kigamboni
โ
Kilomita 3 kutoka Daraja la Nyerere
โ
Ukubwa: Meta za mraba 4,000 (sawa na hekta 1)
๐ฐ Bei: TZS 780,000,000 tu
Kiwanja hiki kinafaa kwa:
๐ฅ Ujenzi wa hospitali
๐ซ Ujenzi wa shule
๐ข Apartment za kupangisha
๐๏ธ Miradi ya nyumba za kuuza
๐ Yadi za biashara na maghala
๐ญ Makampuni na uwekezaji mbalimbali wa kibiashara
Eneo hili lina mazingira mazuri, linaendelea kwa kasi na lina thamani kubwa ya uwekezaji kwa sasa na siku zijazo.
๐+255-769554221
#trendingvideo #istagram #vairal #realestateforsale #trendingsongs














