Commercial Plot for Sale in Kigamboni Kisota, Dar Es Salaam (4000 sqm)

Amenities
Description
π‘π’ KIWANJA CHA UWEKEZAJI KINAUZWA β KIGAMBONI KISOTA π’π‘
Fursa adhimu kwa wawekezaji wakubwa kumiliki kiwanja chenye eneo kubwa katika Kigamboni Kisota, eneo linalokua kwa kasi na lenye miundombinu mizuri.
β
Eneo la Face B
β
Tambarare kabisa na tayari kwa maendeleo
β
Barabara inafikika kwa urahisi
β
Mita 300 tu kutoka barabara kuu ya lami
β
Kilomita 3.5 kutoka Feri ya Kigamboni
β
Kilomita 3 kutoka Daraja la Nyerere
β
Ukubwa: Meta za mraba 4,000 (sawa na hekta 1)
π° Bei: TZS 780,000,000 tu
Kiwanja hiki kinafaa kwa:
π₯ Ujenzi wa hospitali
π« Ujenzi wa shule
π’ Apartment za kupangisha
ποΈ Miradi ya nyumba za kuuza
π Yadi za biashara na maghala
π Makampuni na uwekezaji mbalimbali wa kibiashara
Eneo hili lina mazingira mazuri, linaendelea kwa kasi na lina thamani kubwa ya uwekezaji kwa sasa na siku zijazo.
π+255-769554221
#trendingvideo #istagram #vairal #realestateforsale #trendingsongs















