Shop for Rent in Sinza, Dar Es Salaam

Description
📢 Banda la Wakala Linapangishwa – Sinza
✅ Bei: Tsh 100,000 kwa mwezi
✅ Eneo zuri la biashara
✅ Linafaa kwa wakala wa huduma za kifedha, miamala na biashara ndogo ndogo
✅ Linapatikana Sinza, eneo lenye watu wengi na mzunguko mzuri wa wateja
📞 Wahi sasa kabla halijachukuliwa!















