Shop for Rent in Sinza, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 350,000 per month

Type

Shop

Description

✨ FREM NZURI INAPANGISHWA – SINZA ✨

Unatafuta frem yenye mvuto na eneo zuri la biashara? Hii hapa imekufaa!

🔥 Frem nzuri sana yenye muonekano wa kuvutia
🔥 Ipo Sinza – sehemu yenye biashara nyingi na wateja wa kutosha
🔥 Inafaa kwa biashara yoyote (shop, ofisi, saluni n.k)
🔥 Mazingira rafiki kwa biashara kukua

💰 Bei: 350,000/= kwa mwezi
💼 Service Charge: 30,000/=

📞 Call: 0787093748

👉 Chukua hatua sasa – sehemu nzuri kama hii haikai muda mrefu sokoni!