Shop for Rent in Sinza, Dar Es Salaam

Sinza, Ubungo, Dar Es Salaam
3 days ago
Sh. 250,000 per month
Type
Shop
Description
🔥 FREM INAPANGISHWA – SINZA 🔥
Unatafuta sehemu nzuri ya kuanzisha au kupanua biashara yako? Hii hapa fursa murua!
📍 Eneo: Sinza
💰 Bei: 250,000/= kwa mwezi
✨ Frem nzuri sana yenye muonekano wa kuvutia
📌 Ipo sehemu yenye biashara nyingi na mazingira rafiki
🏢 Inafaa kwa biashara ya aina yoyote
💵 Service Charge: 30,000/=
📞 Wahi sasa! Piga simu: 0787093748
👉 Usikose nafasi hii ya kipekee ya kuwekeza kwenye biashara yako!
